" Avete ricevuto gratuitamente, date gratuitamente"  (Matteo 10:8)

HOME  |  MAPPA DEL SITO  |  CONTATTI  |  AIUTO    
Studi Biblici Libri Cristiani Gratuiti eBook Cristiani Gratuiti Riguardo a Noi
 



 Edizione 12 della versione Swahili dell' e-Book gratuito

 


Mfululizo wa Paul C. Jong Juu ya Ukuaji wa Kiroho Kitabu cha 1

- Injili ya Mathayo (I)

  • Formato del libro elettronico : MS Reader
  • Numero di downloads : 47
  • Riguardo a questo libro
  • Indice
 

Dokezo

Mfululizo wa Paul C. Jong Juu ya Ukuaji wa Kiroho - Kitabu cha 1: Injili ya Mathayo (I)

Maelezo ya Kina

Mtume Mathayo anatueleza kuwa Neno la Yesu lilielezwa kwa kila mtu katika ulimwengu huu, hii ni kwa sababu Mathayo alimwona Yesu kuwa ni Mfalme wa wafalme. Kwa sasa, Wakristo katika ulimwengu mzima ambao wamezaliwa tena upya kwa kuamini katika injili ya maji na Roho wanatamani sana kuula mkate wa uzima. Lakini ni vigumu kwa wao kuwa na ushirikiano nasi katika injili ya kweli, kwa sababu wapo mbali sana na sisi. Kwa hiyo ili kutimiza mahitaji ya kiroho ya watu hawa wa Yesu Kristo, Mfalme wa wafalme, basi mahubiri katika kitabu hiki yameandaliwa kama mkate mpya wa uzima ili kuboresha ukuaji wao wa kiroho. Mwandishi anatangaza kuwa wale waliokwishapokea ondoleo la dhambi zao kwa kuamini katika Neno la Yesu Kristo, Mfalme wa wafalme, ni lazima wajilishe Neno lake halisi ili waweze kuilinda imani yao na kuyaimarisha maisha yao ya kiroho. Kitabu hiki kitawapatia mkate wa kweli wa uzima kwenu nyote ambao mmefanyika kuwa watu wa ufalme wa Mfalme kwa imani. Kwa kupitia Kanisa na watumishi wake, Mungu ataendelea kukupatia mkate huu wa uzima. Baraka za Mungu na ziwe juu yao wale wote waliozaliwa upya kwa maji na kwa Roho, na ambao wanatamani kuwa na ushirika wa kweli wa kiroho pamoja nasi katika Yesu Kristo.

Kutoka kwa Mchapishaji

Ni lazima tuwe na imani ambayo Mitume walikuwa nayo na kisha tuamini kama wao walivyoamini kwa kuwa imani yao ilitoka kwa Roho Mtakatifu. Mitume walimwamini Yesu Kristo, Baba yake, na Roho Mtakatifu kuwa ni Mungu wao. Mtume Paulo alikiri kuwa alikufa pamoja na Kristo na akaishi pamoja na Kristo. Paulo alifanyika kuwa chombo cha Mungu kwa kuamini kuwa alibatizwa katika Yesu Kristo (Wagalatia 3:27). Katika injili ya Mungu kunapatikana ubatizo ambao Yesu aliupokea, damu ambayo aliimwaga Msalabani, na karama ya Roho Mtakatifu ambayo ameitoa kwa mtu yeyote anayeamini katika injili hii. Tunaamini kuwa kila mtu katika ulimwengu huu anaamini katika injili hii ya asili, na anaishi maisha ya haki mbele za Mungu kwa kuwa mwenye haki ataishi kwa imani (Waebrania 10:38). Hii ndio sababu mwandishi ameamua kuuandika mfululizo huu wa Ukuaji wa kiroho. Tunahakika kuwa mfululizo huu utaiimarisha imani yako katika injili ya kweli na kisha itakuongoza kumfuata Bwana kama mfuasi wake.


 

 
Free Christian eBooks
    Lista degli e-Book
    Edizione Swahili 12
 
  • Riguardo a questo libro
  •  
  • Indice
  •     Che cos'č un' e-Book?
     
  • Riguardo all' e-Book
  •  
  • Come leggere un' e-Book
  •  
  • Le domande pių comuni
  •  
  • Aiuto al download
  •     I lettori dell' e-Book
     
  • MS Reader 2.0
  •  
  • Acrobat Reader 5.0

  •    
    Copyright © 2001 - 2013 The New Life Mission. Diritti riservati.