Soggetto 1: Rinasce d'acqua e di Spirito
1-3. Sheria zipi zilizoletwa na Mungu?
Mungu ni wa mipango, ndiye Mungu wa kweli na hakika ndiye aliye hai. Hivyo, aliweka sheria ulimwenguni kwa sababu zifuatazo:
① Aliwapa wenye dhambi Sheria na Amri ili waokolewe kwa dhambi zao “kwa maana kutambua dhambi huja kwa njia ya sheria” (Warumi 3:20).
② Sheria ya pili ni Sheria ya Imani iokoayo wenye dhambi. “Sheria ya Roho wa uzima” (Warumi 8:2) inayotoa njia ya wokovu kupitia imani katika Yesu Kristo mwokozi wetu (Warumi 5:1-2). Yesu alishuka ulimwenguni kuitimiza hii sheria. Alibatizwa akatoa damu yake Msalabani na akafufuka. Yesu aliweka sheria ya wokovu ili kuokoa wale wote wenye dhambi ulimwenguni.
Mungu aliweka Sheria ya Imani kwa wale tu wenye kuamini wokovu utokanao kwa maji na Roho. Yeyote atakaye okolewa na kuwa mwana wa Mungu yampasa kwanza kuamini Sheria hii ya Imani ambayo Mungu ameitoa. Ndiyo pekee njia ya kuokoka. Kwa haya, ameruhusu njia ya kwenda mbinguni kwa wale wenye kuamini kuzaliwa kiroho katika kweli tokana na sheria hii.
- Prima
1-32. Poiché Dio è grazioso e compassionevole, non ci considererebbe giusti, anche se nel nostro cuore c’è peccato, se crediamo semplicemente in Gesù?
- Dopo
1-33. Se diciamo che Gesù ha già eliminato tutti i nostri peccati del passato, del presente e del futuro secondo la tua affermazione, come si svilupperebbe il futuro di una persona se continuasse a peccare, pensando al fatto che ha già ottenuto il perdono dei suoi peccati credendo nel battesimo di Gesù e nella Croce? Anche se questa persona uccidesse un’altra persona, penserebbe che anche questo tipo di peccato gli sia stato espiato attraverso Gesù. Pertanto, continuerà a peccare senza esitazione, credendo semplicemente che Gesù abbia già eliminato anche i peccati che commetterà in futuro. Per favore, spiegami queste cose.