Soggetto 1: Rinasce d'acqua e di Spirito
1-9. Ni ipi Injili ya kweli?
Injili ya kweli ni ile pekee yenye kutuwezesha kuwa huru kwa dhambi zetu kikamilifuu, mara moja na kwa wakati wote pale tunapoiamini Nguvu ya Injili ya Mungu ni ile iendeleayo daima bila kupungua.
Injili ya Mungu ni ile “Yesu Kristo alilipa deni la wadaiwa (wenye dhambi) wasio weza bila shaka kulilipia wenyewe.” Sababu ya kuita ni Injili ya “nguvu iendeleayo” ni pale inapotupasa kufa kwa dhambi na kwenda motoni kwa hukumu mwana wa Mungu akaja kuwa sadaka ya kujitoa kwa ajili yetu ili kufuta dhambi zetu zote.
Alikuja hapa ulimwenguni na kubeba dhambi zote kwa ubatizo wake katika mto Yordani na kututakasa daima.
Amelipia mshahara wa dhambi kwa kuchukua dhambi zetu zote kwa ubatizo wake Yordani na kwa kufa msalabani Kalvari. Yesu alizifuta dhambi zote za ulimwengu kwa mithili ya nguvu kwa ubatizo na damu yake. Hii ndiyo habari njema (Injili) ya kweli.
Injili ya kweli ni ile Yesu kuja ulimwenguni na kwa ubatizo wake na damu yake msalabani umetuokoa sisi sote wenye kuiamini.
Kama iandikwavyo katika 1 Yohana 5:6 “Huyu ndiye aliye kuja katika maji na katika damu – Yesu Kristo si kwa maji tu, bali katika maji na katika damu.”
- Prima
1-32. Poiché Dio è grazioso e compassionevole, non ci considererebbe giusti, anche se nel nostro cuore c’è peccato, se crediamo semplicemente in Gesù?
- Dopo
1-33. Se diciamo che Gesù ha già eliminato tutti i nostri peccati del passato, del presente e del futuro secondo la tua affermazione, come si svilupperebbe il futuro di una persona se continuasse a peccare, pensando al fatto che ha già ottenuto il perdono dei suoi peccati credendo nel battesimo di Gesù e nella Croce? Anche se questa persona uccidesse un’altra persona, penserebbe che anche questo tipo di peccato gli sia stato espiato attraverso Gesù. Pertanto, continuerà a peccare senza esitazione, credendo semplicemente che Gesù abbia già eliminato anche i peccati che commetterà in futuro. Per favore, spiegami queste cose.