Soggetto 1: Rinasce d'acqua e di Spirito
1-10. Sababu gani Yesu alijitoa sadaka katika msalaba?
Kujitoa kwa Yesu kama sadaka kwa ajili ya dhambi zetu kulifanyika kutokana na kujitoa kwake kupitia ubatizo wake. Alitupa mwili wake ili kulipia dhambi zetu zote ili tuweze kuachwa huru toka hukumu ya dhambi zetu zote.
Tunachopaswa kuelewa ni kwamba, Yesu alibatizwa katika mto Yordani ili kubeba dhambi zetu zote. Yatupasa kuamini kwamba Yesu alikufa msalabani kwa sababu hii.
Ikiwa Yesu asingebatizwa kabla ya kusulubiwa na ikiwa asinge kufa pale msalabani, dhambi zetu zingebaki pale pale. Hivyo, yatupasa kuamini yote haya mawili, ubatizo na damu ya Yesu. Kwa sababu Yesu ni mwana wa Mungu, Mwana kondoo wa sadaka, alitolewa sadaka ili kufuta dhambi zetu zote.
Yatupasa sisi sote kuamini kwamba Yesu ni Mwana wa Mungu kwamba alibatizwa ili kubeba dhambi zote za ulimwengu, na alisulubiwa kwa dhambi hizo. Yesu alibatizwa na kusulubiwa ili wenye dhambi waweze kuokolewa na kuachwa huru toka katika adhabu ya dhambi – mauti.
- Prima
1-32. Poiché Dio è grazioso e compassionevole, non ci considererebbe giusti, anche se nel nostro cuore c’è peccato, se crediamo semplicemente in Gesù?
- Dopo
1-33. Se diciamo che Gesù ha già eliminato tutti i nostri peccati del passato, del presente e del futuro secondo la tua affermazione, come si svilupperebbe il futuro di una persona se continuasse a peccare, pensando al fatto che ha già ottenuto il perdono dei suoi peccati credendo nel battesimo di Gesù e nella Croce? Anche se questa persona uccidesse un’altra persona, penserebbe che anche questo tipo di peccato gli sia stato espiato attraverso Gesù. Pertanto, continuerà a peccare senza esitazione, credendo semplicemente che Gesù abbia già eliminato anche i peccati che commetterà in futuro. Per favore, spiegami queste cose.