• 所有新生命宣教会 The New Life Mission 网站上的电子书和有声书均可免费下载
  • 探索以多种语言提供的全球性讲道
  • 查看我们已翻译成27种语言的网站
  • 第1卷新修订版已全新推出
Search

关于基督教信仰的常见问题解答

话题1:重生于水和圣灵

1-14. Sadaka ipi ilikuwa ni ya upatanisho wa milele?

Ilikuwa ni upatanisho wa dhambi za ulimwengu ni wa mara moja kwa kumwamini Yesu. Kwa kuwa Yesu ni Mwana wa Mungu na Bwana aishiye milele, ataweza kubeba dhambi zote za ulimwengu milele. Ni kwa vipi alibeba dhambi zetu milele?
Ni kwa namna hii:
① kwa kuzaliwa katika mwili wa kibinadamu.
② kwa kubatizwa na Yohana Mbatizaji – Yordani.
③ kwa kusulubiwa msalabani kubeba hukumu yote kwa niaba yetu.
Mwana wa Mungu alikuja ulimwenguni katika mwili wa mwanadamu na kubatizwa ili kubeba dhambi zote za dunia kupitia Yohana Mbatizaji. Na pia alitoa damu yake msalabani kuokoa wanadamu kwa dhambi zao milele (Walawi 16:6-22, Mathayo 3:13-17, Yohana 1:29, Waebrania 9:12, 10:1-18).
The New Life Mission

参加我们的调查

您是如何了解到我们的?