Fragen und Antworten zum christlichen Glauben
Thema 1: Die Wiedergeburt aus Wasser und Geist
1-2. Yesu ni Nani?
Kama ilivyo andikwa katika Mwanzo 1:3 na Yohana 1:1-3, Yeye ni Muumba, Mungu wa kweli, Mungu wa ulimwengu wote aliye okoa wenye dhambi toka dhambi za ulimwengu (Wafilipi 2:6, “ambaye yeye mwanzo alikuwa yu namna ya Mungu naye hakuona kule kuwa sawa na Mungu kuwa ni kitu cha kushikamana nacho,” John 1:2-3 “Huyo mwanzo alikuwako kwa Mungu, vyote vilifanyika kwa huyo, wala pasipo yeye hakikufanyika chochote kilichofanyika”) Yesu ni Mungu Muumba, Bwana wa ulimwengu.
Ingawa hivyo, watu wengi hushuhudiwa kuokolewa kwa kutoamini juu ya upendo na wokovu wa Yesu aliyeshuka ulimwenguni katika mwili. Lakini wengi wamepokea wokovu, na kuwa watu wa Mungu na kupata uzima wa milele kwa Yesu. Wamekuwa wenye haki.
- Vor
1-32. Wenn wir sagen, dass Jesus bereits alle unsere Sünden der Vergangenheit, der Gegenwart und der Zukunft gemäß Ihrer Behauptung beseitigt hat, wie würde sich dann die Zukunft einer Person gestalten, wenn sie ständig Sünden begeht, indem sie daran denkt, dass ihr ihre Sünden bereits durch den Glauben an die Taufe und das Kreuz Jesu vergeben wurden? Selbst wenn dieser Mensch einen anderen Menschen tötet, wird er denken, dass er selbst für diese Art von Sünde durch Jesus am Kreuz gesühnt worden ist. Daher wird er weiterhin ohne zu zögern sündigen, indem er einfach glaubt, dass Jesus bereits auch die Sünden beseitigt hat, die er in der Zukunft begehen wird. Bitte erklären Sie mir diese Dinge.