Fragen und Antworten zum christlichen Glauben
Thema 2: Der Heilige Geist
2-7. Je wafuasi wa Yesu walimpokea Roho tofauti katika vipindi pasipo kuhusika na msamaha wa dhambi?
Swala la kumpokea Roho Mtakatifu si tukio lenye kupishana kwa muda na ukombozi. Twaweza kuona katika Biblia kwamba wafuasi wa Yesu walikuwa tayari wamekwisha mwamini Yesu kwamba alikwisha beba dhambi zote za ulimwengu kwa njia ya ubatizo wa Yohana hata kabla ya kumpokea Roho Mtakatifu (1 Petro 3:21 Mfano wa mambo haya ni ubatizo unaowaokoa ninyi pia siku hizi).
Msamaha wa dhambi maana yake ni wokovu wa dhambi. Kwa maneno mengine ni kutakaswa dhambi zetu zote mioyoni. Siku hizi wakristo wengi wamechanganyikiwa juu ya maana ya msamaha wa dhami ambao Yesu alitupatia. Watu hawafahamu vile namna ya kupata msamaha wa dhambi. Hudhani ya kwamba tayari wamekwisha pokea ukombozi kwa dhambi zao. Kwa wale walio kwisha pokea msamaha wa dhambi zao wanashuhuda ndani yao. Hata hivyo ikiwa mtu hana ushuhuda wa neno la ukombozi ndani yake basi hakika bado hajampokea Roho Mtakatifu na pia hata msamaha wa dhambi zake zote.
Ikiwa anahisia za kimwili katika kujazwa Roho, hii ni matokeo ya kupotoshwa na hisia zako tu. Shetani hujigeuza na kuwa kama malaika wa nuru (2 Wakorintho 11:14-15, Wagalatia 1:7-9) akimlaghai mtu huyo na kumpotosha toka katika ukweli (Mathayo 7:21-23).
Wale walio kwisha samehewa dhambi zao wanaushuhuda ndani yao kwa sababu wanaamini Injili ya maji na Roho. Katika 1 Yohana 5:4-12 Mungu anamshuhudia Yesu Kristo aliyekuja kwa maji na damu. Zaidi ya yote anasema ikiwa mtu atakubali juu ya Roho fofauti au Injili tofauti (2 Wakorinto 11:4) basi mtu huyo haja pata msamaha wa dhambi au hata Roho Mtakatifu. Watu wataweza kupokea msamaha wa dhambi ikiwa tu watamwamini Yesu Kristo aliyekuja kwa Injili ya maji na Roho Mtakatifu. Ni muhimu katika kupata msamaha wa dhambi. Msamaha wa dhambi ni muhimu kwa ajili ya uwepo wa Roho Mtakatifu.
- Vor
2-10. Ich verbrachte viele traurige Tage, nachdem mein Doktor meinen Fall als Magenkrebs diagnostizierte. Eines Tages besuchte mich ein christlicher Freund von mir und erzählte mir, dass die Teilnahme an einem Wiederauferstehungstreffen in seiner Kirche jede Krankheit heilen könne. Zu der Zeit war ich ein Atheist und es erschien mir, als sei die Macht Gottes, eine Krankheit zu heilen, zu gut um wahr zu sein. Am letzen Tag des Treffens kam jeder zum Pastor um von ihm das Handauflegen zu empfangen. Während er seine Hände auf mich legte, sagte er mir, dass ich einige unverständliche Worte wiederholen solle und fragte mich, ob ich an die heilenden Kräfte von Jesus Christus glaubte. Obwohl ich nicht wirklich von ganzen Herzen daran glaubte, war ich unglücklich und sagte ja. Und genau in dem Moment fühlte ich etwas heißes, wie Elektrizität durch mich fließen. Ich konnte meinen ganzen Körper beben fühlen und ich fühlte, dass mein Krebs geheilt war. Ich entschloss mich, auf der Stelle an den Herrn zu glauben und danach kam große Freude und Frieden in mein Herz und ich fing ein neues Leben an. Ich habe mich auch der Verbreitung des Evangeliums gewidmet. Ich denke, dass der Heilige Geist all diese Dinge bewirkt hat und ich glaube, dass Er in mir wohnt. Glauben Sie das nicht auch?