Fragen und Antworten zum christlichen Glauben
Thema 2: Der Heilige Geist
2-8. Nini maana ya kupokea ubatizo wa Roho Mtakatifu?
Yatupasa kuelewa sababu ya ubatizo wa Yesu. Paulo alihubiri Injili ya ubatizo wa Yesu kwa baadhi ya Waefeso alipo sikia ya kwamba walikuwa wamebatizwa kwa “ubatizo wa Yohana tu”. Waliweza batizwa katika jina la Yesu Kristo na kupokea Roho Mtakatifu mioyoni mwao kwa kuamini kile Paulo alichosema juu ya ubatizo wa Yesu. Asili ya ubatizo wa Yesu alio upokea toka kwa Yohana na ubatizo huo wa Yohana wa toba ilikuwa ni tofauti. Ubatizo wa Yesu ulikuwa ni kutakasa dhambi ambao ni moja kwa moja unauhusiano na kupokea Roho Mtakatifu.
Sasa basi nini asili ya ubatizo wa Yohana? Alipaza sauti “tubuni enyi wazao wa nyoka! Acheni miungu yenu ya kigeni mnayo itumikia na kumrudia Mungu wa kweli”. Ubatizo wa Yohana ulikuwa ni watoba ambao uliwafanya watu wa mrudie Mungu. Hata hivyo ubatizo wa Yesu alio upata toka kwa Yohana ulikuwa ni kwa nia ya kumtwika dhambi za ulimwengu. Hii ndiyo tofauti kati ya ubatizo wa Yohana na ule wa Yesu kwa Yohana. Ubatizo wa Yesu ulitimiza haki yote.
Sasa basi ubatizo gani ulio timiza haki yote? Ni ubatizo ambao kwa kupitia Yesu ndiyo uliobeba dhambi zote za wanadamu tokea Adamu hadi mtu wa mwisho kuishi ulimwenguni. Kwa maneno mengine, ubatizo wa Yesu kwa Yohana ulikamilisha haki yote.
Kutimiza haki yote maana yake Mungu alimleta Mwana wake abatizwe na Yohana ili kubeba dhambi kwa ajili hiyo kwa kuhukumiwa msalabani Mungu alimfufua Yesu toka kifoni hivyo kutakasa wale wote wenye kumwamini.
Hili lilifanywa kwa ajili ya watu wote. Ubatizo wa Yesu na damu yake msalabani ulituletea wokovu wa milele, msamaha wa dhambi zetu zote na nafasi ya kuishi na Mungu milele. Hii ndiyo haki ya Mungu upendo na wokovu wa wanadamu wote. Hapa tunaweza kuthibitisha ubatizo wa Roho Mtakatifu ulikamilishwa kwa kupitia ubatizo wa Yesu na damu yake msalabani.
Ili kubatizwa katika jina la Yesu Kristo yatupasa tuwe na ushuhuda wa kuamini kwamba dhambi zetu zote ulimwenguni zilitwikwa juu ya Yesu kwa njia ya ubatizo wake. Kila aliye pokea msamaha wa dhambi kwa kuamini ubatizo wa Yesu na damu yake msalabani itampasa abatizwe katika jina la Yesu Kristo.
Hivyo tunabatizwa ikiwa ni uthibitisho wa imani yetu katika ubatizo wa Yesu na kutumiza ile amri ya Yesu iliyo sema “Basi enendeni mkawafanye mataifa yote kuwa wanafunzi mkwabatiza kwa jina la Baba na Mwana na Roho Mtakatifu” (Mathayo 28:19). Yesi alibatizwa na Yohana ili kwamba aweze kubeba dhambi zote za ulimwengu na kwa kuwa huu ndiyo ukweli uongozao watu katika kumpokea Roho mtakatifu, hivyo basi utaweza kuitwa pia ni ubatizo wa Roho Mtakatifu.
- Vor
2-10. Ich verbrachte viele traurige Tage, nachdem mein Doktor meinen Fall als Magenkrebs diagnostizierte. Eines Tages besuchte mich ein christlicher Freund von mir und erzählte mir, dass die Teilnahme an einem Wiederauferstehungstreffen in seiner Kirche jede Krankheit heilen könne. Zu der Zeit war ich ein Atheist und es erschien mir, als sei die Macht Gottes, eine Krankheit zu heilen, zu gut um wahr zu sein. Am letzen Tag des Treffens kam jeder zum Pastor um von ihm das Handauflegen zu empfangen. Während er seine Hände auf mich legte, sagte er mir, dass ich einige unverständliche Worte wiederholen solle und fragte mich, ob ich an die heilenden Kräfte von Jesus Christus glaubte. Obwohl ich nicht wirklich von ganzen Herzen daran glaubte, war ich unglücklich und sagte ja. Und genau in dem Moment fühlte ich etwas heißes, wie Elektrizität durch mich fließen. Ich konnte meinen ganzen Körper beben fühlen und ich fühlte, dass mein Krebs geheilt war. Ich entschloss mich, auf der Stelle an den Herrn zu glauben und danach kam große Freude und Frieden in mein Herz und ich fing ein neues Leben an. Ich habe mich auch der Verbreitung des Evangeliums gewidmet. Ich denke, dass der Heilige Geist all diese Dinge bewirkt hat und ich glaube, dass Er in mir wohnt. Glauben Sie das nicht auch?