• All e-books and audiobooks on The New Life Mission website are free
  • Explore multilingual sermons in global languages
  • Two new revised editions in English have been released
  • Check out our website translated into 27 languages
Search

FAQ on the Christian Faith

Subject 1: Being born again of water and the Spirit

1-4. Je, yatupasa kumwamini Yesu?

Ndiyo, yatupasa kwa sababu ni Bwana wetu, aliye pekee wa haki, na kwa sababu ni mapenzi yake “kwa maana hapana jina jingine chini ya mbingu walilopewa wanadamu litupasalo sisi kuokolewa kwalo” (Matendo 4:12). Hakuna Mwokozi mwingine Yesu ndiye Mwokozi wetu wa pekee. Tutaweza kukombolewa na kuzaliwa upya pale tu tutakapo mwamini yeye. Kwa kuwa na imani kwake na ndipo tutaweza kwenda mbinguni na kupata uzima wa milele.
The New Life Mission

TAKE OUR SURVEY

How did you hear about us?