• All e-books and audiobooks on The New Life Mission website are free
  • Explore multilingual sermons in global languages
  • Two new revised editions in English have been released
  • Check out our website translated into 27 languages
Search

FAQ on the Christian Faith

Subject 1: Being born again of water and the Spirit

1-20. Lipi ni Kanisa la kweli la Mungu?

Kanisa la kweli la Mungu ni pale wenye haki, wale walio kombolewa na kutakaswa katika Kristo kwa kuamini ubatizo na damu ya Yesu, wanapo kusanyika na kumwabudu Mungu (1 Wakorintho 1:2). Kanisa la kweli la Mungu, kama ilivyoandikwa katika Waefeso 4:5 ni mahala ambapo washirika huamini katika “Bwana mmoja, imani moja, ubatizo mmoja; Mungu mmoja na Bwana wa wote.”
The New Life Mission

TAKE OUR SURVEY

How did you hear about us?