ЧЗВ за Християнската Вяра
Тема 1: Новорождението от водата и Духа
1-19. Kwa nini yatupasa kumwamini Yesu?
Yatupasa kumwamini Yesu:
① Kutimiza mapenzi ya Mungu.
② kuokolewa na dhambi zetu zote.
③kuingia ufalme wa Mbinguni ili tuishi milele na Bwana.
Sisi sote ni wenye dhambi ambao tutaangukia motoni pasipo imani katika Kristo, mwokozi wetu. Ni Yesu pekee ndiye mwokozi wetu ambaye ataweza kutuokoa toka motoni. Yatupasa kumwamini kwa kuwa ndiye pekee wa kweli.
• Ni wapi watu wenye kumwamini Yesu na kuokolewa mwishoni huenda? - Mbinguni -
• Ni wapi watu wasio mwamini Yesu wala kukombolewa mwishoni huenda?
- Motoni kwa dhambi zao zote; ziwa la moto liwakalo na kiberiti - (Ufunuo 21:8).
• Ni nani Kondoo wa Mungu? Wale wote wapokeao msamaha wa dhambi kwa kuamini ubatizo wa damu ya Yesu.
Na “Kondoo wale wasio wa zizi hili” (Yohana 10:16) ni wale mbuzi kwa sababu kuamini kwa ufinyu kwa kile wanachoelewa kwa kuchagua, kwa sababu bado ni wenye dhambi wakati wale wenye kuamini ubatizo na damu ya Yesu wameokolewa wote kwa wakati mmoja na kuwa kondoo wa Mungu.
- Преди
1-32. Ако кажем, че Исус вече е премахнал всичките ни грехове от миналото, настоящето и бъдещето според вашето твърдение, как би се развило бъдещето на човек, ако той непрекъснато извършва грях, мислейки за факта, че вече е получил умилостивение за греховете си чрез вяра в кръщението на Исус и Кръста? Дори ако този човек убие друг човек, той ще мисли, че е получил умилостивение дори за такъв грях чрез Исус. Следователно, той ще продължи да греши без колебание, само защото вярва, че Исус вече е премахнал дори греховете, които ще извърши в бъдеще. Моля, обяснете ми тези неща.