Często Zadawane Pytania na temat Wiary Chrześcijańskiej
Temat 1: Ponowne narodziny z wody i Ducha
1-17. Kwa nini Yesu ilimpasa afe msalabani?
Kifo cha Yesu ilikuw ni malipo ya dhambi zote za ulimwengu alizobeba kwa kupitia ubatizo wake. Wanadamu walikuwa na adhabu ya kifo cha motoni kwa dhambi zao, lakini kwa kuwa Yesu alitupenda alikubali ubatizo, ambao ulimbebesha dhambi zote juu yake na kufa msalabani ili kutuokoa.
Alijitoa mhanga ili kutuokoa toka dhambini na laana ile ya jehanamu. Kifo chake kilikuwa ni malipo ya dhambi za wanadamu. Alibatizwa ili azichukue dhambi zote za dunia na kujitoa ahukumiwe msalabani ili kutuokoa toka dhambini, hukumuni na kwenye laana.
Kifo cha Yesu ni kwa ajili ya dhambi za ulimwengu alizobeba pale Yordani ili aweze kupokea hukumu ya dhambi za wanadamu. Alikufa msalabani na kufufuka ili kutuwezesha kuishi tena kama wenye haki.
- Przed
1-32. Jeśli powiemy, że Jezus już wyeliminował wszystkie nasze grzechy przeszłości, teraźniejszości i przyszłości, zgodnie z twoim twierdzeniem, jak wyglądałaby przyszłość osoby, która nieustannie popełniałaby grzech, myśląc o tym, że jej grzechy zostały już usunięte przez wiarę w chrzest Jezusa i Krzyż? Nawet jeśli ta osoba zabije inną osobę, będzie myśleć, że nawet ten rodzaj grzechu został odpokutowany przez Jezusa. Dlatego będzie nadal grzeszyć bez wahania, wierząc, że Jezus już wyeliminował nawet grzechy, które popełni w przyszłości. Proszę wyjaśnij mi te kwestie.